Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Simba yang’oa beki KMC
Michezo

Simba yang’oa beki KMC

Spread the love

Klabu ya simba imekamilisha usajili wa beki wa pembeni kutoka klabu ya KMC Israel Patrick Mwenda mwenye umri wa miaka 21. Anaripoti Mintanga Hunda Tudarco…(endelea)

Mchezaji huyo ametambulishwa hii leo Agost 16, 2021 kupitia kurasa ya klabu ya simba inayopatikana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram

Mwenda ametambulishwa huku akiwa sehemu ya kikosi cha simba kilichokua kambini Rabat, Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano 2021/22.

Mlinzi huyo wa kulia ambaye pia alikua nahodha wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 23  amekwenda  kuchukua nafasi ya David kameta (Duchu) ambaye ametolewa kwa mkopo .

Usajili wa beki huyo unakwenda kutimiza idadi ya wachezaji 9 waliosajiliwa na simba mpaka sasa, huku baadhi yao wakiwa hawajatambulishwa.

 

 

 

 

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!