Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Sh. bilioni 1.5 zanufaisha wakulima
Habari Mchanganyiko

Sh. bilioni 1.5 zanufaisha wakulima

Matrekta ya kilimo
Spread the love

TAASISI ya kifedha ya inayohusika na kukopesha mashine mbalimbali ikiwemo matrekta (EFTA), imeahidi kuendelea kuboresha huduma hizo ili kuongeza nguvu za kukuza uchumi wa viwanda nchini, anandika Christina Haule.

Meneja wa taasisi ya EFTA, Martin Jeremia amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa ambapo amesema tangu wameanza kutoa huduma mwaka 2016 hadi sasa wameshatoa mikopo yenye thamani ya Sh. bilioni 1.5 kwa wakopaji 30.

Jeremia amesema kuwa hadi sasa wametoa mikopo kwa wakopaji mbalimbali wa mashine tofauti ikiwemo matrekta kwa wakulima hao 30 kutoka mkoa wa Morogoro na Dodoma (Kibaigwa), kwa kuwa wana masharti nafuu na riba ndogo ya mkopo ukilinganisha na watu wengine.

Aidha, amesema mashine zinazokopeshwa zinaanzia kiasi cha Sh. mil 20 hadi 220 na kwamba wanakopesha sekta ya elimu, afya, kilimo na biashara kwa vifaa vya ujasiriamali na kuwataka kulipa riba ya 17% na marejesho ya mkopo katika kipindi cha miaka mitatu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari Mchanganyiko

GGML yasisitiza kuendelea kuimarisha afya za wafanyakazi

Spread the loveKAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited kwa kushirikiana na kampuni...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

error: Content is protected !!