Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Sh. 90,000 zamfikisha kortini mwalimu Tabora
Habari Mchanganyiko

Sh. 90,000 zamfikisha kortini mwalimu Tabora

Spread the love

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) itamfikisha mahakamani mwalimu, Kondwani Masata akituhumiwa kutoa rushwa ya Sh.90,000 kama kishawishi kwa Katibu Tawala Mkoa wa Tabora ili aweze kuhamishiwa Manispaa ya Tabora. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Jumatatu tarehe 7 Septemba 2020 na Mkuu wa Takukutu Mkoa wa Tabora, Mussa Chaulo imesema, mwalimu huyo Kondwani Masata wa shule ya sekondari Kizengi Kata ya Kizengi wilayani Uyui Mkoa wa Tabora.

Chaulo amesema, mwalimu huyo atafikishwa mahakamani leo Jumatatu kutokana na tuhuma hizo ambapo walibaini mtuhumiwa aliomba uhamisho na kwa nyakati tofauti amekuwa akishawishi kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu (sms) na baadaye kutoa fedha kiasi hicho.

Pia, Takukuru itamfikisha mahakamani, Fidelis Myovella, mhasibu wa Chuo cha Ualimu Tabora na Joseph Kaizerege, mfanyakazi katika manispaa ya Tabora kwa kosa la kutumia nyaraka kumdanganya mwajiri.

Taarifa yote ya Chaulo hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

Spread the loveKAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!