Tuesday , 30 May 2023
Home Habari Mchanganyiko Sh. 90,000 zamfikisha kortini mwalimu Tabora
Habari Mchanganyiko

Sh. 90,000 zamfikisha kortini mwalimu Tabora

Spread the love

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) itamfikisha mahakamani mwalimu, Kondwani Masata akituhumiwa kutoa rushwa ya Sh.90,000 kama kishawishi kwa Katibu Tawala Mkoa wa Tabora ili aweze kuhamishiwa Manispaa ya Tabora. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Jumatatu tarehe 7 Septemba 2020 na Mkuu wa Takukutu Mkoa wa Tabora, Mussa Chaulo imesema, mwalimu huyo Kondwani Masata wa shule ya sekondari Kizengi Kata ya Kizengi wilayani Uyui Mkoa wa Tabora.

Chaulo amesema, mwalimu huyo atafikishwa mahakamani leo Jumatatu kutokana na tuhuma hizo ambapo walibaini mtuhumiwa aliomba uhamisho na kwa nyakati tofauti amekuwa akishawishi kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu (sms) na baadaye kutoa fedha kiasi hicho.

Pia, Takukuru itamfikisha mahakamani, Fidelis Myovella, mhasibu wa Chuo cha Ualimu Tabora na Joseph Kaizerege, mfanyakazi katika manispaa ya Tabora kwa kosa la kutumia nyaraka kumdanganya mwajiri.

Taarifa yote ya Chaulo hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wenye ulemavu waiomba MISA-TAN iwajengee uwezo wa uhuru wa kujieleza

Spread the love  TAASISI ya vyombo vya Habari kusini mwa Afrika (MISA-TAN)...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wajawazito 2000 Korogwe washiriki Marathon, Mwenyekiti UWT amsifu Jokate

Spread the loveWANAWAKE wajawazito zaidi ya 2000 wilayani Korogwe mkoani Tanga wameshiriki...

Habari Mchanganyiko

Kirigini kuzikwa leo Butiama

Spread the love  MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini (1980-1985), Herman...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jeshi la Polisi kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika utafiti

Spread the love  JESHI la Polisi Nchini limesema kuwa katika kukabiliana na...

error: Content is protected !!