Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Serukamba amvaa Spika Ndugai
Habari za SiasaTangulizi

Serukamba amvaa Spika Ndugai

Spread the love

 

MBUNGE wa zamani wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba amemtaka Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kuacha kupotisha umma kuhusu mkopo wa Sh.1.3 trilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Tanzania ni miongoni mwa mataifa yaliyopata mkopo kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF) zenye lengo la kupambana na janga la virusi vya korona (UVIKO-19).

Leo Jumanne, tarehe 28 Desemba 2021, Serukamba amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu kauli ya Spika Ndugai kukosoa mikopo kwamba deni limekuwa kubwa linaweza na ipo siku nchi inaweza kupigwa mnada.

Fuatilia mazungumzo yote ya Serukamba.

1 Comment

  • Asante ndugu serukamba chuki za binadamu zinapo mzidi ua zinamzarilisha hayo ndio yaliyo jamaa

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!