Thursday , 18 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Serikali ya Uganda yamkamata mshukiwa muhimu wa ADF
Kimataifa

Serikali ya Uganda yamkamata mshukiwa muhimu wa ADF

Spread the love

 

POLISI nchini Uganda imemkamata mshitukiwa Kiongozi Mkuu na Mratibu wa Kubdi la Waasi la Allied Democratic Forces (ADF) leo tarehe 15 machi 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, … (endelea).

Kwamujibu wa Msemaji wa Polisi Fred Enanga amesema kuwa Abdallh Kapanda Musa ,Maarufu kama Mogo , alikamatwa katika eneo la kati mwa Uganda akidaiwa kupanga shambulio dhidi ya Mashirika ya usalama na watu mashuhuri.

Alisema Bunduki iliyokuwa na risasi, simu 11 na kifaa cha kuhifadhi taarifa za kujihadi zilipatikana wakati wa msako uliofanyika nyumbani kwa mshukiwa huyo.

Hata hivyo Mashirika ya Usalama yanamshuku mshitakiwa kuwa sehemu ya kundi lililopanga mashambulizi dhidi ya kituo cha Polisi cha Central mjini Kampala mnamo Novemba mwaka jana .

Mashambulio hayo yalipelekea jeshi la Udanda kuvuka mpaka na kuingia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupambana na wanamgambo hao wenye mafungamano na wanamgambo wa wa kundi la kigaidi la Islamic State [IS]

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Faye amteua aliyekuwa mfungwa mwenzie kuwa waziri mkuu

Spread the loveRais mpya wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ousmane Sonko...

error: Content is protected !!