Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sanga amwomba Rais kuingilia kati uagizaji mbolea
Habari za Siasa

Sanga amwomba Rais kuingilia kati uagizaji mbolea

Mbunge wa jimbo la Makete nchini Tanzania, Festo Sanga
Spread the love

 

MBUNGE wa jimbo la Makete nchini Tanzania, Festo Sanga, amemwomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia katika suala la uagizaji mbolea kutokana na kukwamishwa na wanasiasa na watendaji wa Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Mbunge huyo amesema suala la mbolea Rais Samia ameweka Sh. 150 bilioni kwaajili ya ruzuku ya mbolea lakini changamoto imekuwa kwenye mfumo wa uagizaji wa pamoja.

Amesema Waziri wa Kilimo ameanza kurekebisha mfumo wa uagizaji wa pamoja kwasababu uliopo sasa unamufaisha mwagizaji mmoja.

“Pamoja na jitihada za Waziri yapo mambo ya siasa yanafanywa na wanasiasa na watendaji wa Serikali kukwamisha jambo hili, naomba Rais aingile kati jambo hili kwasababu mbolea inahitajika kila mahali,” amesema Sanga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

error: Content is protected !!