Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Samia kuzungumza na wazee wa Dar kesho
Habari Mchanganyiko

Samia kuzungumza na wazee wa Dar kesho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Saluhu akihutubia Taifa mara baada ya kuapishwa
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Ijumaa tarehe 7 Mei 2021, anatarajiwa kufanya mkutano na zaidi ya wazee 900 wa Mkoa wa Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Katika mkutano huo, Rais Samia atazungumzia masuala mbalimbali.

Leo Alhamisi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge amesema, kikao icho kitafanyika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City kuanzia saa 8 mchana.

Mkuu huyo wa mkoa ametoa wito kwa wazee waliopata mialiko ya kushiriki kikao hicho, kujitokeza kwa wingi ili wapate kusikiliza kile ambacho Rais Samia amewaitia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Gardner Habash wa Clouds Fm afariki dunia

Spread the loveALIYEKUWA mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

error: Content is protected !!