Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Samia kuzungumza na wazee wa Dar kesho
Habari Mchanganyiko

Samia kuzungumza na wazee wa Dar kesho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Saluhu akihutubia Taifa mara baada ya kuapishwa
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Ijumaa tarehe 7 Mei 2021, anatarajiwa kufanya mkutano na zaidi ya wazee 900 wa Mkoa wa Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Katika mkutano huo, Rais Samia atazungumzia masuala mbalimbali.

Leo Alhamisi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge amesema, kikao icho kitafanyika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City kuanzia saa 8 mchana.

Mkuu huyo wa mkoa ametoa wito kwa wazee waliopata mialiko ya kushiriki kikao hicho, kujitokeza kwa wingi ili wapate kusikiliza kile ambacho Rais Samia amewaitia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NMB Bonge la Mpango – ‘Moto Uleule’ yazinduliwa, Milioni 180…

Spread the loveMSIMU wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha utamaduni wa Kuweka...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awataka wahariri kufanya kazi bila uoga, upendeleo

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wahariri wa vyombo...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yasaini mkataba wa bilioni 55.2 kuchoronga miamba GGML

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kufanya vizuri katika...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako...

error: Content is protected !!