Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Samia ateua Gavana BoT, apangua wizara ya fedha
Habari Mchanganyiko

Samia ateua Gavana BoT, apangua wizara ya fedha

Spread the love

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwamo Emanuel Mpawe Tutuba kuwa Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Tutuba ambaye alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango amechukua nafasi ya Profesa Florence Luoga ambaye amemaliza muda wake.

Katika taarifa iliyotolewa leo tarehe 7 Januari, 2023 imeonesha pia amemteua Dk. Natu El Maamry Mwamba kuwa Katibu Mkuu wizara ya Fedha na Mipango akichukua nafasi ya Tutuba.

Dk. Mwamba alikuwa mhadhiri mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni ya uendeshaji wa kiwanja wa ndege Kilimanjaro (KADCO).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!