RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewasili salama nchini Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).
Ndege ya Shirika la Ndege ya Tanzania (ATCL), iliyoondoka leo asubuhi Jumanne, tarehe 4 Mei 2021, katika Uwanja wa Dodoma, Tanzania, imewasili saa 3:50 asubuhi, Uwanja wa Jomo Kenyatta, Kenya.
Rais Samia amekwenda Kenya kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kesho Jumatano, anarejea Tanzania.
Leave a comment