Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais wa Tanzania Samia atua Kenya
Habari za SiasaKimataifa

Rais wa Tanzania Samia atua Kenya

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewasili salama nchini Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Ndege ya Shirika la Ndege ya Tanzania (ATCL), iliyoondoka leo asubuhi Jumanne, tarehe 4 Mei 2021, katika Uwanja wa Dodoma, Tanzania, imewasili saa 3:50 asubuhi, Uwanja wa Jomo Kenyatta, Kenya.

Rais Samia amekwenda Kenya kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kesho Jumatano, anarejea Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!