Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais wa kwanza Zambia, Keneth Kaunda afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Rais wa kwanza Zambia, Keneth Kaunda afariki dunia

Spread the love

 

RAIS wa kwanza wa Zambia, Keneth Kaunada amefariki dunia, leo mchana Alhamisi, tarehe 17 Juni 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kaunda mwenye miaka 97, amefikwa n amauti akiwa katika moja ya hospitali nchini humo akipatiwa matibabu.

Alikuwa Rais wa Zambia kwa miaka 27 kuanzia tarehe 24 Oktoba 1964 hadi 2 Novemba 1991.

Kaunda alizaliwa tarehe 28 Aprili 1924.

Rais wa Taifa hilo, Edgar Lungu amesema, Kaunda amefikwa na mauti mchana wa leo.

Amesema, Taifa hilo limempoteza Baba wa Taifa hilo na kuwaomba familia kuwa watulivu katika kipindi hiki.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!