Tuesday , 3 October 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia, Mbowe wakutana tena Ikulu
Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia, Mbowe wakutana tena Ikulu

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana kwa mara nyingine na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman Mbowe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Wawili hao wamekutana leo Jumatatu tarehe 9 Mei 2022 Ikulu jijini Dar es Salaam.

Hii ni mara ya pili wanakutana na kuzungumza masuala mbalimbali yenye tija kwa Taifa.

Mara ya kwanza ilikuwa tarehe 4 Machi 2022, saa chache tu kupita tangu Mbowe alipoachiwa huru na Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi katika kesi ya ugadia aliyokuwa anakabiliwa nayo pamoja na wenzake watatu.

Katika mazungumzo hayo ya 4 Machi 2022, Rais Samia na Mbowe waliueleza umma wamekubaliana kushirikiana na kutangaza haki kwa mustakabali mpana wa Taifa.

Katika mazungumzo ya leo Jumatatu haijafahamika zalichozungumza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Bilioni 6.1 kumaliza tatizo la maji Katoro-Buseresere – Geita

Spread the loveMakamu mwenyekiti wa Umoja wa wanawake CCM, (UWT), Zainab Shomari...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali kupokea ndege ya 14 ya ATCL, safari kuongezeka

Spread the love  SERIKALI ya Tanzania, kesho tarehe 3 Oktoba 2023, inatarajia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mobhare Matinyi Msemaji mpya wa Serikali

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Mkuu wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Basi la Magereza lagonga treni yenye abiria 650 Dar

Spread the loveBasi  Jeshi la Magereza lenye namba MT 0040 limegonga treni...

error: Content is protected !!