Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia: Jenista ni jembe, kiraka
Habari za Siasa

Rais Samia: Jenista ni jembe, kiraka

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi, Jenista Mhagama
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Sulkuhu Hssan amempongeza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Jenister Mhagama kwa kuweza kumudu kila wizara anayopangiwa kuhudumu huku akimtaja kuwa ni “jembe” na “kiraka”. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea).

“Nimshukuru sana Waziri Jenista, jembe. Unajua Jenista ni kiraka, ukikiweka kwa vijana utafikiri amekaa nao miaka 100, ukimpeleka bungeni huko ndio anacheza lakini tumempeleka utumishi unawajua utafikiri amekaa na hii wizara miaka 50,” amesema.

Mkuu huyo wa nchi ametoa pongezi hizo kwa Waziri wake leo Jumapili tarehe 27, Novemba 2022, wakati akifungua mkutano mkuu wa 10 wa chama cha Taaluma ya Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) unaofanyika jijini Arusha.

Rais Samia amemshukuru Jenista na timu yake yote kwa kusimamia kwa kusimamia uzingatiaji wa taalua mbalimbali katika utumishi wa umma ikiwemo watunza kumbukumbu na kuhakiisha changamoto zao zinatatuliwa mara kwa mara zinapotokea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!