Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Rais Samia awatakia kheri watahiniwa kidato cha sita
Elimu

Rais Samia awatakia kheri watahiniwa kidato cha sita

Wanafunzi wa kidato cha sita walipokuwa wanafanya mtihani
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania ,Samia Suluhu Hassan amewatakia wanafunzi wote wa kidato cha sita kila kheri,katika mitihani yao iliyoanza leo jumatatu tarehe 9 mei 2022 , Pamoja na Walimu Tarajali wanaosomea ualimu ,wanaoanza mitihani yao leo. Anaripoti Rhoda Kanuti, Dar es Salaam … (endelea)

Katika ukurasa wake wa Twitter ,Rais Samia leo jumatatu ameandika ‘’nawatakia kila kheri wanafunzi wote wa kidato cha sita , pamoja na walimu tarajali wanao somea ualimu.’’

Aidha Samia amesema serikali itaendelea kuhakikisha inaongeza nafasi na mazingira bora, kwenu katika kufanikisha muweze kusonga mbele kielimu ,kiajira ili nchi iwenze kunufaika na ujenzi wa vipaji vyenu.
Jumla ya watahiniwa 95,955 kutoka shule za sekondari 841 na vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 250 wameanza mitihani ya kumaliza kidato ya sita leo.

Pia watahiniwa 9,670 kutoka vyuo 70 wamesajiliwa kufanya mitihani ya mwisho ya kozi ya ualimu katika ngazi ya stashahada na cheti.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

error: Content is protected !!