Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia atoa ujumbe wa Ramadhani
Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atoa ujumbe wa Ramadhani

Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Waislamu wote nchini humo, kutumia kipindi hicho, kufanya toba na kuiomba nchi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Ametoa ujumbe huo leo Jumanne, tarehe 13 Aprili 2021, kupitia ukurasa wake wa Twitter, ikiwa ni siku ya kwanza ya mfungo mtukufu wa Ramadhani.

“Nawatakia Waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.”

“Tukiwa katika kipindi hiki cha toba tusisahau kuiombea nchi yetu amani, upendo, mshikamano na utulivu ili kujenga mazingira bora zaidi kwa maendeleo na ustawi wa jamii,” amesema Rais Samia na kuongeza:

“Ramadhan Kareem wa Swaum Maqbul.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

TEMESA iliyokarabati Kivuko kwa Bil 7.5 yapata hati chafu

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yakusanya Mil 8.5/- kodi ya zuio na kutokomea nazo

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

error: Content is protected !!