Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ateua 8, yumo bosi wa zamani SSRA
Habari za Siasa

Rais Samia ateua 8, yumo bosi wa zamani SSRA

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi nane akiwemo bosi wa zamani wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Dk. Irene Isaka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Dk. Isaka ameteuliwa kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA).

Dk. Isaka alitenguliwa SSRA akiwa mkurugenzi mkuu Desemba 2018 na aliyekuwa Rais wa wakati huo, Hayati John Pombe Magufuli.

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

Ni baada ya kuibuka kwa mjadala mkali kuhusu kikokotoo cha mafao ya wastaafu.

Uteuzi wa Dk. Isaka na wenzake, umetangazwa leo Jumamosi tarehe 13 Novemba 2021 na Jaffar Haniu, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu.

Taarifa ya walioteuliwa wote hii hapa:-

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!