RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wawili akiwemo, Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Said Shaibu Mussa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Mwingine ni Aisha S Amour kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi akishughulikia sekta ya Ujenzi.
Viongozi hao wameapishwa leo Alhamisi, tarehe 13 Januari 2022, Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
Leave a comment