Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Profesa Joseph Kazilwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Serikali za Mitaa Homboro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Taarifa iliyotolewa leo Jumapili, tarehe 24 Oktoba 2021 na Jaffar Haniu, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu imesema, uteuzi huo umeanza 21 Oktoba 2021.
Profesa Kazilwa, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, mkoani Morogoro.
Leave a comment