Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Mwinyi aivunja bodi ya shirika la meli na uwakala
Habari za Siasa

Rais Mwinyi aivunja bodi ya shirika la meli na uwakala

Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar
Spread the love

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Meli na Uwakala, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Dk. Abdulhamid Mzee imesema, Rais Mwinyi amechukua uamuzi huo leo Jumanne tarehe 15 Desemba 2020 kutokana na kutoridhishwa na uendeshaji wa shirika hilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!