RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Meli na Uwakala, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Dk. Abdulhamid Mzee imesema, Rais Mwinyi amechukua uamuzi huo leo Jumanne tarehe 15 Desemba 2020 kutokana na kutoridhishwa na uendeshaji wa shirika hilo.
Leave a comment