Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli avunja Bodi ya Ushauri TEMESA
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli avunja Bodi ya Ushauri TEMESA

Spread the love

RAIS John Pombe Magufuli ameivunja bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Ikulu, Gerson Msigwa inasema Rais Magufuli ameivunja bodi hiyo leo Jumapili tarehe 23 Septemba, 2018.

Bodi hiyo iliyokuwa inaongozwa na Mwenyekiti wake, Brigedia Generali mstaafu Mhandisi Mabula Mashauri imevunjwa wakati Kamati maalum ya Uchunguzi wa ajali ya MV Nyerere iliyotokea Septemba 20 ikianza kazi ya kuchunguza tukio hilo lililopoteza uhai wa watu zaidi ya 200.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!