Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli ateua mawaziri wawili
Habari za Siasa

Rais Magufuli ateua mawaziri wawili

Dk. Philip Mpango
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ameanza kuunda baraza lake la mawaziri kwa kuteua mawaziri mawaziri. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Walioteuliwa ni; Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Dk. Philip Mpango kuhudumunwizara ya Fedha na Mipango.

Mawaziri hao wateule, katika Baraza lililopita la Rais Magufuli, walikuwa wizara hizo hizo.

Prof. Palamaganda Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa imesema, uteuzi wa mawaziri hao unaanza leo Ijumaa tarehe 13 Novemba 2020.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!