Wednesday , 27 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Rais Magufuli amwaga Sh. bilioni 9  Mwanza
Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli amwaga Sh. bilioni 9  Mwanza

Rais John Magufuli akizungumza
Spread the love

RAIS  John Magufuli ameagiza zitolewa Shilingi bilioni tisa kwa ajili ya upanuzi wa  uwanja wa ndege wa Jiji la Mwanza, anaandika Moses Mseti.

Ametoa agizo hilo leo  alipofungua daraja la wapita kwa miguu la Furahisha lililpo jijini Mwanza na kusema kuwa mradi huo ni muhimu kwa wakazi wa Mwanza.

Akizungumzia ujenzi wa uwanja huo, Rais Magufuli amesema utasaidia kuinua uchumi kwa kuwa malengo ya serikali na kutaka kuona ndege kubwa zinatua katika eneo hilo katika miaka ijayo.

Aidha, aliwaambia wakazi wa Mwanza kwamba ujenzi wa Meli mpya ya kisasa itakayokuwa ikifanya safari zake kati ya Mwanza na Bukoba unatarajia kuanza mapema mwaka ujao.

Miradi mingine ambayo itazinduliwa na Rais Magufuli mkoani Mwanza ni pamoja na  viwanda.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya madini kurusha ndege ya utafiti wa madini Geita

Spread the loveKutokana na mchango wa wachimbaji wadogo wa madini kwenye pato...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza kampuni za madini kuzingatia utunzaji mazingira, azitaka zijifunze kwa GGML

Spread the loveWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia apewa tano ujenzi barabara Mtwara

Spread the loveWANANCHI wa Mkoa wa Mtwara, wameishukuru Serikali ya Rais Dk....

error: Content is protected !!