Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais atoroka na dola mil 169
Kimataifa

Rais atoroka na dola mil 169

Rais wa Afghanistan, Ashraf Ghani
Spread the love

 

RAIS aliyeondolewa madarakani nchini Afghanistan, Ashraf Ghani anadaiwa kubeba dola za Marekani milioni 169. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Rais Ghani ambaye sasa imethibitishwa kuwa ametimkia katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), alitoroka Ikulu ya nchi hiyo iliyopo katika mji mkuu wa Kabul baada ya wanajeshi wa kikundi cha Taliban kuuteka mji huo na miji mingine muhimu.

Kwa mujibu wa Mohammad Zahir Aghbar ambaye ni Balozi wa Afghanistan nchini Tajikstan, Rais Ghani alikuwa amebeba fedha hizo alipotoroka nchi yake siku ya jumapili Agosti 15.

Akizungumza na waandishi wa Habari katika mji mkuu wa Tajik Dushanbe, balozi huyo alisema kuondoka kwa Ghani ni sawa na ‘usaliti kwa taifa lake.’

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!