Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Prof. Mkenda awaaga Rais Museveni, Ndayishimiye
Habari Mchanganyiko

Prof. Mkenda awaaga Rais Museveni, Ndayishimiye

Spread the love

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni pamoja na Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye leo tarehe 23 Julai, 2022 kwa nyakati tofauti wameondoka katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) na kuagwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Viongozi hao waliwasili nchini tarehe 21 Julai 2022 na kushiriki Mkutano wa 22 wa Wakuu wa nchi na serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika kuanzia tarehe 21-22 Julai 2022 katika Ukumbi wa kimataifa wa mikutano-AICC Jijini Arusha.

Kadhalika, Viongozi hao waliungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Kenya na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),  Uhuru Kenyatta, katika ufunguzi wa Barabara ya Kikanda ya Afrika Mashariki (Arusha Bypass km 42.4) katika Sherehe zilizofanyika Ngaramtoni Jijini Arusha tarehe 22 Julai, 2022.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!