Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Polisi wanasa mtandao wizi wa magari ya umma
Habari Mchanganyiko

Polisi wanasa mtandao wizi wa magari ya umma

Spread the love

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu 15 wanaodaiwa kujihusisha na mtandao wa wizi wa magari,ikiwemo magari ya umma. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Akizungumza na wanahabari leo tarehe 6 Novemba 2018, Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Liberatus Sabas amesema katika operesheni iliyofanywa na jeshi hilo, wamefanikiwa kukamata magari saba ikiwemo gari la wizara ya afya na la taasisi ya wanawake Tanzania.

Amesema katika watuhumiwa 15, mmoja wao aliyefahamika kwa jina la Dk. Yusuf Mwaipopo (42) alikamatwa na gari ya wizara ya afya.

“Natoa rai kwa madereva wa magari ya umma kwamba sehemu sahihi ya kupaki magari sio kwenye yadi za uchochoroni, magari ya umma yapaki kwenye ofisi za umma zenye ulinzi wa kutosha,” amesema Kamanda Sabas.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

error: Content is protected !!