Sunday , 2 April 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Polisi Dodoma wawashikilia ‘machangudoa’ 22
Habari Mchanganyiko

Polisi Dodoma wawashikilia ‘machangudoa’ 22

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto
Spread the love

WANAWAKE takribani 22 pamoja na wanaume watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya ngono. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Akizungumza na wanahabari leo tarehe 9 Oktoba 2018 jijini Dodoma, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Gilles Muroto amesema watuhumiwa hao walikamatwa maeneo ya Uhindini ambapo wanawake hao walikuwa wanauza miili yao wakati wanaume wawili walikuwa wateja wa baadhi ya wanawake hao.

Kamanda Muroto ameeleza kuwa, Jeshi la Polisi pia limekamata wamiliki wa baadhi ya baa zinazohifadhi ‘machangudoa’ hao.

“Tumekamata changudoa au dada poa hawa wanafanya umalaya, vile vile tumekamata baa zinazohifadhi watu hao maeneo ya Uhindini , tumekamata wamiliki wa baa na wanaume wawili. Wanaokimbilia akina dada,” amesema Kamanda Muroto.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Ditopile aungana na Wana-Kongwa kwa Iftar, wamuombea dua Rais Samia

Spread the loveKATIKA muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti...

Habari Mchanganyiko

PSSSF yawekeza kwenye viwanda 4, kuzalisha ajira 3,000

Spread the loveKATIKA kuisaidia Serikali kupunguza tatizo la uhaba wa ajira nchini,...

Habari Mchanganyiko

Luhemeja ahimiza utunzaji rasilimali maji kwa faida ya vizazi vijavyo

Spread the love  NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Cyprian Luhemeja...

Habari Mchanganyiko

NSSF yawapa darasa wahariri uwekezaji wa nyumba, yapewa cheti

Spread the loveMFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetoa wito...

error: Content is protected !!