KAMATI Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) imewaitaka wabunge wake watatu kuwahoji kutokana na sababu tuhuma zinazowakabili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Wabunge hao ni, Humphrey Polepole wa kuteuliwa na Rais, Jerry Silaa wa Ukonga na Askofu Josephat Gwajima wa Kawe.
Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa, tarehe 17 Desemba 2021 na kikao cha kamati kuu kilichokutana chini ya mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan.
Ccm ileze wazi wazi tuilewe inamsimamo gani kuhusu pole pole