Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Ongezeko la idadi ya wazee China latikisa
Kimataifa

Ongezeko la idadi ya wazee China latikisa

Spread the love

 

IDADI ya raia walio na umri wa zaidi ya miaka 60 nchini China inatarajiwa kuongezeka kwa wastani wa milioni 10 ifakapo mwaka 2050 ambapo inatarajiwa kutakuwa na wazee milioni 520. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa  … (endelea).

Inaelezwa kuwa suala hili limeongeza wasiwasi kwa mamlaka kuhusu hazina ya serikali ya pensheni, vituo vya kulelea wazee na huduma za matibabu.

Makamu wa Rais wa Chuo kikuu Renmin cha China Du Peng ameeleza ididai hiyo ni sawa na asilimia 37.8 ya watu wote nchini humo.

China ilikuwa na watu milioni 209.78 wenye umri wa zaidi ya miaka 65 mwaka jana, ikiwa ni asilimia 14.9 ya watu kwa mwaka 2021.

Du alipohojiwa na Tencent Finance alieleza kuwa sasa ni wakati wa China kujiandaa kikamilifu kukakabidili idadi kubwa ya wazee.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Wadukuzi wa Kichana waiba barua pepe 60,000 za Serikali ya Marekani

Spread the loveWADUKUZI wa kichana wamedukua barua pepe 60000 serikali ya Marekani...

Kimataifa

Mahakama yamkuta na hatia Donald Trump

Spread the love  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia...

Kimataifa

Harusi yageuka msiba 100 wakifariki kwa ajali ya moto

Spread the love  WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki...

Kimataifa

Kampuni ya mali ya China Oceanwide yapata agizo la kufilisiwa huko Bermuda

Spread the love  MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni...

error: Content is protected !!