BENKI ya NMB nchini Tanzania imekabidhiwa Tuzo ya Shukrani kwa kudhamini ‘wiki ya ununuzi wa umma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha…(endelea).
Wiki hiyo ilianza jana Alhamisi tarehe 5 Mei 2022 na itahitimishwa jana Jumamosi jijini Arusha ikiwa na kauli mbiu ‘matumizi ya teknolojia katika kubiresha ununuzi wa umma.’
Tuzo hiyo imekabidhiwa kwa Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Dismas Prosper na Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa.
Majaliwa ameipongeza NMB kwa udhamini walioutoa kwenye wiki hiyo muhimu kwa ujenzi wa taifa.
Leave a comment