Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Biashara NMB yapata tuzo wiki ya ununuzi wa umma
Biashara

NMB yapata tuzo wiki ya ununuzi wa umma

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (kushoto) akimkabidhi Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Dismas Prosper (kulia) Tuzo ya Shukrani kwa Benki hiyo kudhamini wiki ya Ununuzi ambayo inafanyika jijini Arusha.
Spread the love

BENKI ya NMB nchini Tanzania imekabidhiwa Tuzo ya Shukrani kwa kudhamini ‘wiki ya ununuzi wa umma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha…(endelea).

Wiki hiyo ilianza jana Alhamisi tarehe 5 Mei 2022 na itahitimishwa jana Jumamosi jijini Arusha ikiwa na kauli mbiu ‘matumizi ya teknolojia katika kubiresha ununuzi wa umma.’

Tuzo hiyo imekabidhiwa kwa Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Dismas Prosper na Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa.

Majaliwa ameipongeza NMB kwa udhamini walioutoa kwenye wiki hiyo muhimu kwa ujenzi wa taifa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

Biashara

Mchezo mpya mjini Super Heli Kasino, ushindi, zawadi ndiyo sehemu yake

Spread the love  KUNA watu wanakwambia hakuna njia rahisi ya mafanikio kwenye...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yafuturisha Unguja, Pemba, SMZ yaahidi ushirikiano

Spread the loveBENKI ya NMB imeendeleza utamaduni wa kufuturisha wateja wake walioko...

error: Content is protected !!