BENKI ya NMB Tanzania jana Ijumaa tarehe 10 Juni 2022 kwa kushirikiana na Kampuni ya Bima ya Jubilee Health wamezindua kifurushi kipya cha huduma za bima ' Pamoja Afya'. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea).
Huduma hiyo imezinduliwa jijini Dar es Salaam ambapo huduma bila kadi itatolewa kwenye Hospitali za Serikali na Hospitali zinazomilikiwa na taasisi za dini.
Leave a comment