Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Michezo Ninja arejea Yanga
Michezo

Ninja arejea Yanga

Spread the love

ABDALLAH  Shaibu (Ninja) amerejea tena ndani ya Yanga kwa mkataba wa miaka miwili akitokea klabu ya La Garaxy inayoshiriki ligi kuu nchini Marekani. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Mchezaji huyo amesaini mkataba huo mapema hii leo kwenye makao makuu ya klabu hiyo chini ya makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo Frederick Mwakalebela na kaimu katibu mkuu wa klabu hiyo Patrick Simon.

Beki huyo hapo awali alijiunga na Yanga 2017 akitokea Zanzibar kwa mkataba wa miaka miwili, na kufanikiwa kucheza Yanga kwa mafanikio makubwa na mwisho wa msimu alijiunga na klabu ya La Garaxy na baadae kupelekwa kwa mkopo kwenye timu ya MFK Vyskov.

Yanga kwa sasa inaendelea kuimalisha kikosi chake ambapo mpaka sasa imeshasajili jumla ya wachezaji watano ambao ni Zawadi Mauya, Bakari Mwamnyeto, Wazir Junior, Yassin Mustapha na Ninja.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

error: Content is protected !!