Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yaonya watakaotangaza matokeo
Habari za Siasa

NEC yaonya watakaotangaza matokeo

Mwenyekiti wa NEC, Semistocles Kaijage
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeonya, wagombea, kikundi, chama cha siasa au wafuasi wao wanaopanga kuchukua sheria mkononi ya kutangaza matokeo nje ya utaratibu na mamlaka zilizowekwa Kikatiba na kisheria kutofanya hivyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Jumanne tarehe 20 Oktoba 2020 na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage imezungumzia masuala mbalimbali ikiwemo mawakala watakaosimamia uchaguzi huo.

Taarifa yote ya Jaji Kaijage hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!