Sunday , 2 April 2023
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yaonya watakaotangaza matokeo
Habari za Siasa

NEC yaonya watakaotangaza matokeo

Mwenyekiti wa NEC, Semistocles Kaijage
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeonya, wagombea, kikundi, chama cha siasa au wafuasi wao wanaopanga kuchukua sheria mkononi ya kutangaza matokeo nje ya utaratibu na mamlaka zilizowekwa Kikatiba na kisheria kutofanya hivyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Jumanne tarehe 20 Oktoba 2020 na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage imezungumzia masuala mbalimbali ikiwemo mawakala watakaosimamia uchaguzi huo.

Taarifa yote ya Jaji Kaijage hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia apangua mawaziri

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la...

Habari za Siasa

RC mstaafu afariki dunia, CCM yamlilia

Spread the loveALIYEWAHI kuwa mkuu wa mikoa ya Dodoma, Mara, Mtwara na...

Habari za Siasa

Marekani kuwekeza Dola 500 Mil kupeleka bidhaa na huduma Tanzania

Spread the loveMAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amesema miongoni mwa...

Habari za Siasa

Kamala ataja hatua mpya kuimarisha uhusiano wa kibiashara Tanzania, Marekani

Spread the loveKATIKA kuimaridha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi baina ya Tanzania...

error: Content is protected !!