Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC wamrudisha rasmi Chiza Buyungu
Habari za SiasaTangulizi

NEC wamrudisha rasmi Chiza Buyungu

Spread the love

MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Buyungu, Lusubilo Mwakabibi amemtangaza Christopher Chiza, Mgombea wa CCM kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa jimbo hilo uliofanyika jana tarehe 12 Agosti, 2018. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Mwakabibi amemtangaza Chiza kuwa mshindi alfajiri ya leo tarehe 13 Agosti 2018.

Mwakabibi ametangaza kuwa, Chiza ameshinda kwa kura 24,578 huku aliyekuwa mpinzani wake wa karibu Eliah Michael wa Chadema akipata kura 16,910.

Jumla ya kura zilizopigwa na wakazi wa Buyungu zilikuwa 42,356 kati ya idadi ya watu 61,980 waliojiandikisha kupiga kura. Kati ya kura hizo, halali zilikuwa 41,841 na zilizoharibika ni 515.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!