Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa NEC kuzindua uandikishaji wapiga kura Julai 18
Habari za Siasa

NEC kuzindua uandikishaji wapiga kura Julai 18

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inatarajia kuzindua Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura tarehe 18 Julai 2019 mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa hiyo imetolewa leo na NEC, inaeleza kwamba Jaji Semistocles Kaijage, Mwenyekiti wa NEC amefungua mkutano wa wadau unaofanyika mkoani Kilimanjaro, ikiwa ni maandalizi ya uzinduzi rasmi wa daftari hilo.

Taarifa hiyo ya NEC imeeleza kuwa, miongoni mwa wadau wanaoshiriki katika mkutano huo ni pamoja na wawakilishi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini, wawakilishi wa watu wenye ulemavu, vijana na asasi mbalimbali za kiraia.

Wakati huo, Jaji Mbarouk Salumu Mbarouk,  Makamu Mwenyekiti wa NEC amefungua mkutano wa wadau mkoani Arusha, pia mkutano huo umeshirikisha wadau kutoka vyama vya siasa, asasi za kiraia na watu wenye ulemavu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveSERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani...

Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

Spread the loveMFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

error: Content is protected !!