Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Ndalichako azichongea taasisi za Elimu ya Juu kwa JPM
Elimu

Ndalichako azichongea taasisi za Elimu ya Juu kwa JPM

Prof. Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu
Spread the love

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kufyekelea mbali ukiukwaji wa maadili ya utumishi wa umma katika taasisi za elimu ya juu nchini. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Akizungumza mbele ya Rais John Magufuli leo tarehe 27 Novemba 2018 jijini Dar es Salaam, Prof. Ndalichako amesema kuna baadhi ya watu wanajificha nyuma ya taaluma zao kwenda kinyume na maadili ya utumishi wa umma.

“Baadhi ya watu wanataka kujificha nyuma ya taaluma kwenda kinyume na maadili ya utumishi wa umma, ukiukwaji wa maadili ya utumishiwa umma tutaufyekelea mbali,” amesema Ndalichako.

Aidha, Prof. Ndalichako amesema serikali itahakikisha taasisi za elimu ya juu zinakuwa mfano wa kuigwa kwa taifa letu ikiwemo kwa kufuata sheria na maadili ya utumishi wa umma.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

Spread the loveZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana...

Elimu

Green Acres kuwakatia bima wanafunzi wote

Spread the loveShule ya Green Acres imejipanga kufanya mambo makubwa kwa mwaka...

Elimu

Vipaji Green Acres vyawafurahisha wazazi

Spread the love WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Green Acres, wamewapagawisha wazazi...

ElimuHabari Mchanganyiko

Mtwara Girls waondokana na changamoto ya maji

Spread the love  WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana mkoani Mtwara...

error: Content is protected !!