
Kiwanja cha Maonyesho cha Sabasaba
MAANDALIZI ya Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Sabasaba yamekamilika kwa asilimia 80 huku nchi 25 zikithibitisha kushiriki. Anaandika Jimmy Mfuru … (endelea).
Mkurugenzi wa Mamlaka na Maendeleo ya Biashara Tanzania, Tantrade Maleko amewataka wafanyabiashara kuendelea kukarabati mabanda hayo na baada ya Juni 28 hawataruhusiwa tena kuendelea na ukarabati.
“Maandalizi ya maonyesho hayo yamekamilika kwa asilimia 80 na nchi 25 zimethibitisha kushiriki, nawaomba wafanyabiashara kukarabati mabanda yao. Baada ya tarehe 28 hawataruhisiwa kuyakarabati tena,”amesema Maleko.
More Stories
Takukuru yavimbia wakandarasi, ‘yarejesha’ mil 420 Tanesco
IGP Sirro: Hatufungui kesi za madai, migogoro ya ardhi
Panyabuku waanza kubaini TB