Wednesday , 17 April 2024
Home Kitengo Michezo Mzee Majuto alazwa tena Muhimbili
Michezo

Mzee Majuto alazwa tena Muhimbili

Spread the love

MFALME wa maigizo ya uchekeshaji nchini, Amri Athuman anayefahamika kama ‘Mzee Majuto’ amelazwa chumba cha wagonjwa mahtuti (ICU) kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa hizo zimethibitishwa na Afisa Habari wa Chama cha Waigizaji, Masoud Kaftany ambaye amesema kuwa, Mzee Majuto kwa sasa anafanyiwa vipimo ili kubaini ugonjwa unaomsumbua.

Naye Mkurugenzi wa Mawasiliano Hospitali ya Taifa ya Muhimbilli, Aminiel Aligaesha amethibitisha uwepo wa Mzee majuto hospitalini hapo.

Aligaesha amesema Mzee Majuto yuko kwenye chumba cha wagonjwa mahututi hospitalini hapo, baada ya kuletwa siku ya Jumanne majira ya saa kumi na mbili jioni.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!