
Mkurugenzi wa Habari Maelezo, Assah Mwambene
Spread the love
ASSAH Mwambene, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo ameondolewa kwenye nafasi hiyo na kwamba, atapangiwa kazi nyingine, anaandika Faki Sosi.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Prof. Elisante Ole Gabriel, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo amemteua Zamaradi Kawawa kukaimu nafasi hiyo mpaka utapofanyika uteuzi mpya.
More Stories
Gazeti la MwanaHALISI lawakutanisha Waziri Bashungwa, Kubenea
LHRC: Uhuru wa kujieleza umeminywa
Uhuru wa habari: THRDC yamwangukia Rais Samia