Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mvua zaleta balaa Dar, Pwani
Habari Mchanganyiko

Mvua zaleta balaa Dar, Pwani

Daraja la Kiluvya
Spread the love

MVUA zinazoendelea kunyesha kuanzia jana mchana zimeanza kuleta madhara baada ya daraja la Kiluvya linalounganisha mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kukatika.

Kutokana na daraja hilo kukatika hudumza za usafiri  wa magari ya abiria, mizigo na binafsi umesitishwa na wananchi wameombwa kutumia barabara ya Bagamoyo.

Daraja hilo ni kiungo muhimu kati ya jiji la Dar es Salaam pamoja na mikoa mbalimbali ya Kaskazini, Kati, Kanda ya Ziwa,  Nyanda za juu Magharibu.

Daraja la Kiluvya

Aidha, mvua hizo zimesababisha maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam yamejaa maji zikiwamo nyumba na kusababisha uharibifu wa mali.

Adha daraja lingine eneo la Mbezi beach jijini Dar es Salaam ‘maarufu la Jeshi’  kutokea Kawe limejaa maji na inadaiwa magari kadhaa yamezama na njia imefungwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

error: Content is protected !!