Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko MV Nyerere sasa yaelea Ziwa Victoria
Habari Mchanganyiko

MV Nyerere sasa yaelea Ziwa Victoria

Spread the love

JUHUDI za unyanyuaji meli ya MV Nyerere zimefikia hatua nzuri baada ya kuinuliwa na kuanza kuonesha taswira yake ya siku zote. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Hatua hiyo ni mafanikio ya wataalam na waokoaji wakiongozwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).

Harakati za kunyanyua kituo hicho mpaka kufikia mwonekano mzuri wa sasa umechukua siku tano.

Tangua kuanza juhudi za kunyanyua meli hiyo, mbinu mbalimbali zimetumika ikiwa ni pamoja na kutumia greda kuvuta waya uliofungwa kwenye meli, kupitisha mabomba na kisha kujaza upepo.

Wataalam wanaendelea kumalizia kazi hiyo na kisha itakabidhiwa rasmi kwa serikali.

MV Nyerere ilizama tarehe 20 Septemba mwaka huu na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 220 na mali nyingi kupotea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

error: Content is protected !!