Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko MV Nyerere sasa yaelea Ziwa Victoria
Habari Mchanganyiko

MV Nyerere sasa yaelea Ziwa Victoria

Spread the love

JUHUDI za unyanyuaji meli ya MV Nyerere zimefikia hatua nzuri baada ya kuinuliwa na kuanza kuonesha taswira yake ya siku zote. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Hatua hiyo ni mafanikio ya wataalam na waokoaji wakiongozwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).

Harakati za kunyanyua kituo hicho mpaka kufikia mwonekano mzuri wa sasa umechukua siku tano.

Tangua kuanza juhudi za kunyanyua meli hiyo, mbinu mbalimbali zimetumika ikiwa ni pamoja na kutumia greda kuvuta waya uliofungwa kwenye meli, kupitisha mabomba na kisha kujaza upepo.

Wataalam wanaendelea kumalizia kazi hiyo na kisha itakabidhiwa rasmi kwa serikali.

MV Nyerere ilizama tarehe 20 Septemba mwaka huu na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 220 na mali nyingi kupotea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Tumeshagawa pikipiki 5,500 kati ya 7,000 kwa maafisa ugani

Spread the love  WAZIRI wa Kilimo, Hussen Bashe, amesema wizara hiyo tayari...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia awapa neno mawaziri utekelezaji mashamba ya pamoja

Spread the love  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amewataka mawaziri kushirikiana...

Habari Mchanganyiko

Ukosefu wa maadili kwa wakunga, wauguzi bado changamoto

Spread the loveIMEELEZWA kuwa vitendo vya uvunjifu wa maadili kwa  wauguzi na...

error: Content is protected !!