
Aboubakar Zubeir, Mufti wa Tanzania
MUFTI wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amesema, Sikukuu ya Eid El-Adh’haa itakuwa Jumatano ijayo tarehe 21 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Kitaifa maadhimisho hayo yatafanyika Msikiti wa Mtoro, jijini Dar es Salaam, kuanzia saa 1:30 asubuhi ambapo itakuwa mapumziko ya Kitaifa.
Mufti Zubeir amesema, Baraza la Eid litafanyika hapo hapo mara baada ya swala hiyo.
More Stories
Huduma ya Teleza Kidigitali yazinduliwa Morogoro
Taasisi yaanzisha mafunzo kuwanoa wadau wa mawasiliano nchini
GGML yatoa msaada wa magari manne VETA Mwanza