Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Michezo Mrithi wa Manji kupatikana Januari
Michezo

Mrithi wa Manji kupatikana Januari

Jengo la Yanga
Spread the love

BAADA ya sintofahamu ya muda mrefu hatimaye Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia kwa Mwenyekiti wake, Malangwe Mchungahela imetangaza 13 Januari, 2019 kuwa ndiyo tarehe ya uchaguzi ndani ya klabu ya Yanga. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)

Uchaguzi huo ambao utafanyika katika nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na wajumbe wanne wa kamati ya utendaji, ambao wote walijiudhulu nafasi zao ndani ya klabu hiyo katika vipindi tofauti.

Yanga wanaingia katika uchaguzi huo baada ya Baraza la Michezo Tanzania (BMT) kutaka uongozi wa klabu hiyo kutangaza tarehe ya Uchaguzi kwa ajiri ya kuziba nafasi za waliojiuzuru nafasi zao kama katiba yao inavyosema.

Kwa mantiki hiyo Yanga inakwenda katika uchaguzi huu huku swala la wanachama wa klabu hiyo kumtaka aliyekuwa Mwenyekiti wao Yusuph Manji kurudi ndani ya timu hiyo kama walivyo afikiana kwenye mkutano mkuu wa klabu hiyo uliofanyika 10 Juni, 2018 kugonga mwamba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Meridianbet yaibukia Tandika, yafungua duka jipya

Spread the love BAADA ya kupita maeneo mbalimbali hatimae kampuni yaMeridianbet imeibukia...

BiasharaMichezo

Ukiwa na Meridianbet ni rahisi kuwa milionea

Spread the love  CARABAO Cup raundi ya 3 Uingereza inaendelea na mechi...

Michezo

Jezi ya Samatta iliyoifunga Liverpool kuuzwa Genk

Spread the love  KLABU ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji imeamua kuanza...

BiasharaMichezo

Hii ndio historia ya El-Clasico, derby bora zaidi duniani

Spread the love  KILA nchi ina vilabu viwili hasimu na pinzani nje...

error: Content is protected !!