Tuesday , 5 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Mlimani City watoa sababu za kufungia Nakumatt
Habari MchanganyikoTangulizi

Mlimani City watoa sababu za kufungia Nakumatt

Milango ya duka la Nakumatt likiwa imefungwa
Spread the love

DUKA kubwa (Supermarket) la Nakumatt lililopo jijini Dar es salaam, limelifungia, baada ya kukosa bidhaa za kutosha kwa muda mrefu pamoja na kudaiwa kodi za huduma mbalimbali, anaandika Angel Willium.

Meneja Mkuu wa Mlimani City, Pastory Mroso ameuambia MwanaHALISI Online, kuwa wamechukua uamuzi huo baada ya duka hilo kushindwa kutimiza vigezo walivyowekea ikiwa pamoja na kupewa notisi miezi minne kufanyia marekebisho tatizo hilo.

Mroso amesema pamoja na kuwapa notisi hiyo lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa, wakawaongezea tena notisi ya mwisho ya siku kumi ambayo ilikuwa inaisha siku ya Jumamosi, na kuamua kuwafungia asubuhi ya leo.

Meneja huyo ameendelea kwa kusema kwamba tatizo hilo limekuwa likiwaathiri wafanyakazi na hata bidhaa za wafanyabiashara wengine na wamelishalitolea taarifa serikalini kwa hatua zingine zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

RPC Songwe awafunda trafki kuzingatia uadilifu

Spread the loveASKARI wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Songwe wametakiwa kuendelea...

Habari Mchanganyiko

Mchimba madini jela maisha kwa kubaka, alihonga Sh 500

Spread the loveMahakama ya wilaya ya Songwe imemtia hatiani na kumhukumu kifungo...

Habari Mchanganyiko

Mlima wa Moto wazindua kongamano la SHILO kumuenzi Rwakatare

Spread the loveKANISA la Mlima wa Moto Mikocheni jijini Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Maafa Manyara: Rais Samia akatisha ziara yake Dubai

Spread the loveRAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amekatisha ziara yake...

error: Content is protected !!