Monday , 11 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Mke wa Robert Kisena kuburuzwa kizimbani
Habari Mchanganyiko

Mke wa Robert Kisena kuburuzwa kizimbani

Nyundo ya Hakimu
Spread the love

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru inatarajia kumburuza kortini Florencia Mashauri ambaye ni mke wa Robart Kisena, Mkurugenzi wa Kampuni ya Usafisirishaji ya UDART. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Akizungumza na waandishi wa Habari, Kassin Ephrem, Kaimu Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Takukuru amesema Taasisi hiyo inampandisha kizimbani Florencia ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Zenon Oil and Gas  Limited kwa tuhuma za kuhujumu uchumi na utakatishaji fedha.

Amesema kuwa mshitakiwa anakabiliwa na tuhumu ya wizi, kukiuka sheria ya mafuta na utakatishaji wa fedha. Pia anadaiwa kutakatisha kiasi cha Sh. 1.2 bilioni na kuitia hasara ya Sh. 1.2 bilioni kwa kuuza mafuta hewa

Florencia na mume wake Kisena naye ameunganishwa kwenye shauri hilo watakalofunguliwa.

MwanaHALISI Online itaendelea kukujulisha kinachoendelea katika shauri hili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NBC yatoa msaada wa mil. 20 kwa waathirika mafuriko Hanang

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) sambamba na wafanyakazi wa...

Habari Mchanganyiko

Polisi wadaka mirungi kwenye basi la Extra Luxury

Spread the loveJeshi la polisi mkoani Kilimanjaro limekamata shehena ya dawa za...

Habari Mchanganyiko

Oryx yaungana na jamii kuwafariji waathirika maporomoko Hanang

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imeungana na Watanzania kutoa pole...

Habari Mchanganyiko

Amsons Group watoa milioni 100 waathirika maafa Hanang

Spread the loveKAMPUNI ya Amsons Group kupitia kampuni zake za Camel Oil...

error: Content is protected !!