Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mke wa Rais Nkurunzinza augua corona, alazwa Kenya
Kimataifa

Mke wa Rais Nkurunzinza augua corona, alazwa Kenya

Spread the love

DENISE, mke wa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza amebainikuwa kuwa na ugonjwa unaosababishaa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). 

Mke huyo wa Rais Nkurunzinza amelazwa katika Hospitali ya Aga Khani, Nairobi nchini Kenya.

Vyanzo vya habari vinasema, Denise alisafiri kwa ndege maalum jana Ijumaa tarehe 28 Mei 2020 kutoka Burundi kwenda Kenya kwa matibabu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!