Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari Milioni moja wafariki dunia kwa corona
Habari

Milioni moja wafariki dunia kwa corona

Spread the love

WAGONJWA milioni moja duniani wamefariki kutokana na virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Mtandao wa worldometer umeripoti leo Jumanne tarehe 29 Septemba 2020, waliopona kutokana na ugonjwa huo ni milioni 24.89 huku maambukizo yakifikia milioni 33.57.

Marekani imeendelea kuwa Taifa linaloongoza kwa maambukizo milioni 7.36, kati yao waliofariki dunia wakiwa 209,808 na waliopona virusi hivyo ni milioni 4.6.

India inafuatia ikiwa na maambukizo milioni 6.14, waliopona milioni 5.1 na waliofariki dunia 96,351. Brazil inashika nafasi ya tatu ikiwa na maambukizo milioni 4.74, waliofariki 142,161 na waliopona ugonjwa huo wakiwa milioni 4.

China ambako corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019 ina maambukizo 85,384 na vifo vikiwa 4,634 na waliopona wakiwa 80,566

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

Spread the loveJUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

Habari

Tanzania yaungana na nchi 180 kushiriki maonesho ya utalii Ujerumani

Spread the love  TANZANIA imeungana na mataifa 180 duniani kushiriki maonesho makubwa...

ElimuHabari

NACTVET yatoa tuzo kwa wanaotoa nafasi kuendeleza ujuzi,Majaliwa ataka uwekezaji kwenye rasilimali watu

Spread the love BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTIVET) kwa...

error: Content is protected !!