Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari Mgogoro mwingine waibuka KKKT
HabariTangulizi

Mgogoro mwingine waibuka KKKT

Spread the love

 

MGOGORO mwingine umelikumba Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), baada ya wachungaji watatu wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, kumtuhumu Askofu wao, Dk Msafiri Mbilu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Taarifa kutoka ndani ya Dayosisi hiyo yenye makao yake makuu, Handeni, Tanga zinasema mgogoro wa sasa, unatokana na makovu ya uchaguzi wa Askofu, ambapo upande mmoja unataka kulipiza kisasi dhidi ya mwingine.

Dk Anneth Munga

Kwa mujibu wa barua ya wachungaji hao – Dk Eberhardt Ngugi, Dk Anneth Munga na James Mwinuka – Tume iliyoundwa na Askofu Mbilu, kuwahoji kwa tuhuma mbalimbali, tayari imepewa maelekezo ya kuwashughulikia, jambo ambalo hawako tayari kuliona likitendeka.

“Baba Askofu, kwa njia ya barua hii, tunapenda ifahamike kwamba hatuko kinyume na mwito wa kuhojiwa na Kamati, lakini hatuna imani na Tume Maalumu ya Halmashauri Kuu iliyoundwa,”

Soma kwa kina, habari hii katika Gazeti la Raia Mwema, toleo la leo Jumatatu, tarehe 6 Desemba 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!