Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Michezo Messi, Ramos kukinukisha Hispania
Michezo

Messi, Ramos kukinukisha Hispania

Mess
Spread the love

LIONEL Messi, nahodha wa Bacelona na Sergio Ramos wa Real Madri ndio vinara wa kuongoza mgomo kupinga La Liga kuchezwa Marekani. Anaandika Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Bodi ya ligi ya La Liga ilieleza kuwa, baadhi ya mechi zitalazimika kuchezwa nchini Marekani.

Lionel Messi, anaripotiwa kuwa tayari kuongoza mgomo wa kupinga uamuzi wa  mechi moja ya La Liga  kuchezwa nchini Marekani kuanzia mapema msimu huu kutokana na makubaliano ya miaka 15 waliyoyafikia na kampuni ya michezo  na burudani ya  Relevant.

Relevant ni kampuni ambayo inaendesha mashindano ya Kombe la Kimataifa kwa ajili ya timu kujiandaa na msimu.

Taarifa kutoka Shirika la Habari la Hispania (AS) siku mbili zilizopita  liliripoti kuwa baadhi ya wachezaji wa ligi hiyo wanalalamikia kutoshirikishwa katika uamuzi huo.

Wanatajwa manahodha 19 wanaoandaa mgomo dhidi ya uamuzi huo akiwemo Messi, Ramos no huo, Diego Godin wa  Atletico Madrid.

Tayari manahidha hao wamekutana kuzungumzia uamuzi wa bodi hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Meridianbet yaibukia Tandika, yafungua duka jipya

Spread the love BAADA ya kupita maeneo mbalimbali hatimae kampuni yaMeridianbet imeibukia...

BiasharaMichezo

Ukiwa na Meridianbet ni rahisi kuwa milionea

Spread the love  CARABAO Cup raundi ya 3 Uingereza inaendelea na mechi...

Michezo

Jezi ya Samatta iliyoifunga Liverpool kuuzwa Genk

Spread the love  KLABU ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji imeamua kuanza...

BiasharaMichezo

Hii ndio historia ya El-Clasico, derby bora zaidi duniani

Spread the love  KILA nchi ina vilabu viwili hasimu na pinzani nje...

error: Content is protected !!