Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Membe kutua Tanzania, asema yuko imara
Habari za Siasa

Membe kutua Tanzania, asema yuko imara

Spread the love

BERNARD Kamilius Membe, mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT-Wazalendo, anarejea nchini mwake kesho Jumanne tarehe 15 Septemba 2020 akitokea Dubai. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Membe aliondoka nchini Tanzania hivi karibuni kwenda Dubai ikiwa ni siku chache kupita tangu alipozindua kampeni zake za urais mkoani Lindi na kufanya mikutano kadhaa mikoa ya Mtwara na Pwani.

Mwanadiplosia huyo mashuhuri aliyepata kuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania kuanzia mwaka 2007 hadi 2015, ametumia ukaunti yake ya Twitter kuelezea safari yake.

“Wana ACT- Wazalendo na Watanzania wenzangu wote! kesho Jumanne ya tarehe 15 Sept.saa 8.40 mchana, nitatua DSM nikitokea Dubai na nitafanya Press Conference Airport.”

“Afya yangu imeimarika na sasa nipo tayari kwa kampeni ya Urais inayoanzia Tabora wiki hii hadi 26 Oktoba 26,” ameandika Membe ambaye pia ni Mshauri Mkuu wa ACT-Wazalendo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!