Saturday , 2 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Mchungaji kiongozi KKKT mbaroni
Habari Mchanganyiko

Mchungaji kiongozi KKKT mbaroni

Spread the love

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Manyara, inamshikilia Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Ufana, Emanuel Petro Guse kwa kuendesha mikopo umiza bila ya leseni ya biashara ya ukopeshaji fedha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Taarifa ya Mkuu wa Takukuru, Mkoa wa Manyara, Holle Makungu aliyoitoa leo Ijumaa tarehe 28 Agosti 2020 imesema, wanaendelea kumshikilia kwa uchunguzi zaidi wa mikataba umiza 48 iliyokutwa nyumbani kwake wakati wa upekuzi.

Taarifa yote ya suala hilo hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya Ukimwi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwalimu jela miaka mitatu kwa rushwa

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi, wilaya ya Igunga, mkoani Tabora imemhukumu...

Habari Mchanganyiko

Waziri Bashungwa aagiza wahandisi kujengewa uwezo

Spread the loveWAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameiagiza Bodi ya Usajili wa...

Habari Mchanganyiko

Heche ataka mawakili vijana kuamka sakata Mpoki

Spread the loveMWENYEKITI wa Mawakili Vijana Tanzania kutoka Chama cha Mawakili wa...

error: Content is protected !!