Sunday , 2 April 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Mbunge mwingine Chadema aachia ngazi
Habari za SiasaTangulizi

Mbunge mwingine Chadema aachia ngazi

Spread the love

ALIYEKUWA mbunge wa Simanjiro (CHADEMA), James Millya, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Katika barua yake kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai, Millya anasema, ameamua kuchukua uamuzi huo kufuatia kuona giza nene kwa chama alichokuwa.

Anasema, kabla ya kujiunga na Chadema alikuwa mwanachama wa CCM. Anasema, aliondoka CCM kwa kuwa alikiona siyo chama chenye kutetea maslahi ya wengi.

“Nilikuwa Chadema, lakini sasa nimeona kuwa haina mpango wa kutetea kile ninachokiamini,” ameeleza Millya.

IMG-20181007-WA0043

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia apangua mawaziri

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la...

Habari za Siasa

RC mstaafu afariki dunia, CCM yamlilia

Spread the loveALIYEWAHI kuwa mkuu wa mikoa ya Dodoma, Mara, Mtwara na...

Habari za Siasa

Marekani kuwekeza Dola 500 Mil kupeleka bidhaa na huduma Tanzania

Spread the loveMAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amesema miongoni mwa...

Habari za Siasa

Kamala ataja hatua mpya kuimarisha uhusiano wa kibiashara Tanzania, Marekani

Spread the loveKATIKA kuimaridha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi baina ya Tanzania...

error: Content is protected !!